THE BIG WEIGHT LOSER

*UNAHITAJI KUJIWEKA FITI?*

Bila shaka unapata shida kufanya uchaguzi

👉ule au usile

👉ule diet yenye nyama au mbogamboga

KULA KIDOGO HAKUKUFANYI UZITO WAKO UPUNGUE

👉watu wengi hifikiri kuwa kula milo michache kunaweza kuwasaidia wapuungue haraka

IPO HIVI
▪Unapoanza kula milo michache mwili hujirekebisha (adjust) na kupunguza utendaji kazi wake (body metabolism)
▪unapokula wakati unanjaa absorption ya chakula huwa ni kubwa zaidi mwilini
▪unapokula matund na mbogamboga tu,kiasi kikubwa cha cellulose/nyuzinyuzi hubadilishwa haraka na kuwa glucose
▪kufanya yote haya unapoteza uzito mdogo sana.na ni misuli ambayo huwa inapungua/be consumed ili kuondoa na kumaliza sukari ya damu


KWA SABABU UNA *WILLPOWER* YA KUPUNGUZA UZITO
hata ubongo wako hukujaribu /hukushawishi

👉Utafiti wa kisayansi unaonesha kwamba:-

▪ vyakula vyenye calorie nyingi vinavutia zaidi ubongo kuliko vile vyenye calorie ndogo hasa wakati wa njaa kuliko ukiwa umeshiba

▪Unaweza kuta kwamba unapotumia diet kupunguza uzito,ni rahisi mtu kujikuta anakula kupitiliza na inakuwa ni ngumu kucontrol  hali hiyo
(Vibonge wengi wengi wanapenda kula mara kwa mara)

"KIMSINGI hiyo inaitwa ni SELF PROTECTION MECHANISM"
yaani mwili unajitengenezea mazingira ya kujilinda (unahifadhi chakula chakula kwa ajili wakato ambapo mwili utakuwa hujapata chakula)
Yaani mwilo unaogopa usije badae ukakosa nguvu ya kutosha
Kwa hiyo mwili unakufanya unapokula ule kweli

So inakuwa ni ngumu kucontrol kiasi cha chakula nachokula, unapokula mwili huhitaji zaid na zaidi

HILI SIYO JAMBO LA WILLPOWER BALI NI UBONGO ambao unajaribu kukushawishi uchague vyakula vyenye calorie nyingi,yaani unapoona  chakula cha aina hiyo ubongo unakutamanisha unakuambia *"ona ona,ni kuzuri jamani,chukua kula"*
Hapo sasa mwilo hujiandaa kufanya synthesis ya kiasi kikubwa cha Fat

KUPUNGUZA UZITO KWA KUTUMIA DRUGS
unaweza kupungua haraka:,lakini madawa yanaumiza sana(yanaside effect nyingi) na mara nyingi mwili hurudi kwa kasi zaidi

Hivi karibuni kuna dawa ambayo inaiywa USPSTF's
Zinatangazwa sana kuwa zinazuia obesity,
Jua kwamba dietary pills zina athari nyingi
Sishauri uwe unatumia hizo drugs

KWA NINI NI RAHISI KUWA NA UZITO MKUBWA (kuwa kibonge)?

Katika miili yetu kuna storage ndogo ya sukari kama gram 600 hivi

Watu huendelea kula sukari hata kama storage imejaa
Ile sukari inayozidi hubadilishwa na kuwa Fat
Fat haina kikomo katika uhifadhi
Na kinachotumika kwanza mwilini siyo fat ambayo imezidi bali ni SUKARI NA MISULI

kw hiyo fat huwa inabaki mwilini


KUNA NJIA YA KISAYANSI AMBAYO WATU WENGI WA U.S.A HUTUMIA KUPUNGUZA MIILI YAO NA KUJIWEKA FITI BILA COMPLICATIONS

NJIA HII ITAKUFANYA WEWE PIA UWE FITI BILA KUPATWA NA MADHARA MENGINE

HII NI PROGRAMU YA SIKU 28
Ambayo itakuweka wewe katika hali unayoihitaji bila kujibana kula
Unapaswa tu ujali muda wa kula
Ni lazima ule kadiri ratiba inavyosema
Usikae njaa


PROGRAMU HUANZA KWA KUFANYA *DETOX*
▪kama mtu anauzito wa kilo 65,kilo 3.25 ya takataka huhifadhiwa mwilini
👉sumu hii ndiyo chanzo cha uzito/vitambi hasa kama unakula sumu nyingi na kutoa kidogo

▪kama sumu hiyo isipotolewa kwa wakati,husharabiwa tena katika tumbo kama virutubisho ambavyo hupelekea harufu mbaya,gesi,tumbo kujaa
👉ili uondoe tumbo ni lazima uondoe sumu mwilini na kuongeza kasi ya ufanyaji kazi wa mwili (body metabolism)


*VEGGIE VEGGIE*
HIKI NDICHO KIRUTUBISHO AMBACHO
👉huboresha process ya utumbo mdogo kujikunja na kujikunjua ili kufanya chakula kiweze kupita(peristalsis)

👉kuondoa sumu mwilini na kuongeza metabolism ya mwili

👉huondoa tumbo kujaa gesi,choo kigumu,na matatizo mengine ya tumbo


SEHEMU YA PILI NI *SLIMMING*

👉Hufanya marekebisho ya sehemu za tumbo ambazo zina kasoro na kutengeneza shape ya mwili

👉kulingana na utafiti
Mazingira ya matumbo ya watu wanene wana bacteria wengi wabaya kuliko wazuri,wakati wembamba wana bacteria wengi wazuri kuliko wabaya

👉tumbo lenye afya husharabu virutubisho vitakiwavyo kusharabiwa na kuondoa takataka zinazotakiwa kuondolewa
Kwa hiyo siyo rahisi kupata uzito

👉mazingira ya tumbo yakiwa na kasoro husababisha chakula kinachofyonzwa kisifanyiwe kazi kikamilifu,hivyo husababisha kioze ndani ya tumbo na kuwa sumu(sturbon toxin) ambazo zinaleta mzigo kwa tumbo,
Hii itapunguza uwwzo wa tumbo na kuongeza takataka nyingi

*PROBIO 3*
👉hii ni kwa ajili ya marekebisho ya njia ya utumbo na kuunguza fat iloyozidi

👉inajenga uwembamba wa mwili na kuongeza kinga
👉inaboresha mazingira ya tumbo na kuzuia ongezeko la bacteria wabaya


SEHEMU YA TATU NI KUDHIBITI USAWA WA METABOLISM YA HEAT NA KUONGEZA STRUCTURE YA CHAKULA

Extra heat huhifadhiwa mwilini katika mfumo wa Fat ,wakato,mlo wa muda mrefu,wenye fat nyingi na wenye sukari nyingi pia ni sababu ya watu wengi kuwa na vitambi

Mlo wenye mafuta (fat) na sukari nyingi pia ni alama ya kutobalance  kwa virutubisho ambapo hii itasababisha mwili kukosa kukosa virutubisho muhimu kwa ajili ya lipid metabolism

Uwiano wa virutubisho huimarisha uchakataji wa lipidsna kusaidia uvunjaji wa fat

Hii *PROBIO3*
Hucontrol calories na fat
Huleta uwiano wa mlo

*EZ-XLIM*
▪hucontrol absorption ya Fat mwilini
▪hupunguza uvunjwaji wa starch
▪hupunguza ufyonzwaji wa sukari mwilini

Faida
Unakuwa na calorie ndogo lishe ya hali ya juu
Unakuwa hujisikii njaa
Unapunguza migo tumboni

UKITUMIA PROGRAMU HII UTAONA MABADILIKO NDANI YA SIKU 28
▪veggie veggie
▪probio3
▪ez-xlim
▪constirelax


FAIDA ZA PROGRAM HII

*INAKUPA UHURU*:hakuna zuio la diet,tunakushauri uwe unakula kwa muda kama kawaida

*AFYA*:program haina madhara kwa mwili

*JIACHIE* punguza  uzito bila kujinyima kula

*SCIENCE* Ni mbinu tu ya kisayansi ambayo inafuata mzunguko wa ufanyaji kazi wa tumbo


WELCOME BF SUMA
@raphael
+255621493637

Comments

Popular posts from this blog

DIFFERENCE BETWEEN MLM VS PYRAMID SCHEME

BF SUMA

TUMBO KUJAA GESI SIO JAMBO LA KUHANGAIKA UKIWA NA HUDUMA ZA BF SUMA