Posts

Showing posts from October, 2019

FURSA KWA WENYE MALENGO YA KUTIMIZA NDOTO ZAO

Pengine wewe ni mtu unayefanya kazi kwa juhudi zako zote lakini kipato chako bado hakitoshi kukidhi mahitaji yako. Huwezi kununua kitu unachokipenda wala huwezi kujipangia muda wa kupumzika na familia yako, Hauna Uhuru wa MUDA wala Uhuru wa PESA. Kuanzia sasa unaweza kujiongezea kipato chako au kujipatia ajira ya kukidhi mahitaji yako - ukiwa unafanya shughuli zako kwa muda wako uliojipangia. Huhitaji mtaji mkubwa bali NIA na JUHUDI katika kujifunza na kujituma, Pesa Ni Matokeo ya Utendaji Wako Wa Kazi. Ndani ya 2019 unaweza: •Kuwa na uhakika wa kipato kizuri. •Kuwa na uhuru wa muda. •Kuwa na gari binafsi. •Kusafiri nje Ya Nchi. •Kuwa na nyumba ya Kifahari. Hupotezi Shilingi na wala hutakuwa na cha kujutia. Fursa hii haiwabagui watu kwa Kimisingi ya Elimu, Kipato chao au Nafasi katika Jamii. Ni fursa ya kumwezesha yeyote ... NARUDIA TENA, ye yote anaweza kuwa Milionea kupitia fursa hii .... !! Ukibaki Nyuma, Jilaumu mwenyewe. Hakuna sababu ya kuendelea kutoa sabab

MATATIZO YA KUUGUA KICHWA KWA MUDA MREFU

FAHAMU TATIZO LA KUUMWA KICHWA KWA MUDA MREFU/MARA KWA MARA  NA SULUHU ZAKE Tatizo hili la kuumwa na kichwa limegawanyika katika sehemu kuu nyingi sana japokuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yameadvance sana km vile concusion of brain, meningitis, encephalitis na stroke. Kuumwa na kichwa inawezatokana na matatizo ya taya, meno au hata kula vitu vya baridi zaidi, vyakula vyenye nitrite au monosodium glutamate. Sehemu ambazo huuma ni kama mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa, badhi ya neva za fahamu zilizoko usoni. Yafuatayo ni baadhi ya maumivu ya kichwa.... 1. NERVOUS TENSION HEADACHES Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo, kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia Vitamin B2 na C. Punguza au acha matumizi ya sukari, kahawa, chakula chenye kukusababishia mzio, misongo ya mawazo na ufanye mazoezi ya kutosha. 2. CLUSTER  HEADACHES Kichwa kuumwa hasa upande mmoja wa kichwa hasa kwa m

IJUE BF SUMA

Image
Ijue  BF SUMA Company profile Maana ya BF SUMA ni B- *Bright* ,, F- *Future* ,, S- *Superior* ,, U- *Unique* , M- *manufacturer of* A - *America* ... Mnamo mwaka 1993- bfsuma walianzia Hongkong {China} {kama kampuni ya kuzalisha madawa}ya mifupa na viungo {bones &Joints}.. ```  ```Mnamo mwaka 1995 - kampuni ilipanuka na kufungua Marekani katika Jiji LA Gharama kuishi Los Angeles na kuweka kiwanda Cha Kuzalisha Virutubisho {food Supplement}... Mnamo mwaka 2000:- kampuni ilipewa Vibali na Vyeti Vya kutambua Ubora wao kama :- G.M.P {Good Manufacturing Practice} na FDA {Food and Drugs Adminstration},,baadae kampuni tena Ikaendelea Pata Vibali kama G.L.P {Good Laboratory Practise } na Halal:- kibali cha utambuliz kwa jamii ya kiislamu na imani kuwa halali kwa matumiz..``` ```2004:- Waliweza kufungua soko lao Africa kupitia nchi iitwayo Benin 2011:- kampuni ilisogea hadi nchi jirani ya Kenya na kutua Afrika Mashariki...ambako imezaa vyema na kustawil Sana hadi sasa

SUMMER summer

Image
*SIRI YA USHINDI  NI          HII,             Maombi Team Bidii Nidhamu BF SUMA BRIGHTER FUTURE BETTER LIFE

KISUKARI KINATIBIKA

*•Unamfahamu Mgonjwa Anayeumwa KISUKARI??* *•Awe Ndugu yako, Rafiki, Jirani, Mme/Mke wako Au Jamaa Yako???* *•Je, Unajua Kuwa Yupo Kwenye Wakati Mgumu Kiakili, Kisaikolojia, Kiafya nk, Na Amekata Tamaa Kutokana Na Tetesi au Majibu Kuwa hawezi Kupona Kabisa Ugonjwa Wake?* *•Unaonaje Kama, Ukimpa Taarifa Kuwa Tatizo Lake Lina Suluhisho la  Kupona Na Atarudia Hali Yake Kama Zamani Huoni Kama Utakuwa Umemuokoa Mtu Huyo Na Atakushukuru  Maisha Yake Yote??* *¶Katika hali hiyo haya humpata mtu;* *1. Njaa ya mara kwa mara, glukosi inapopungua.* *2. Kukojoa mara nyingi , kuondoa sukari. Mkojo huwa mtamu.* *3. Kiu, kwa sababu sukari huvuta majimaji kutoka kwenye seli na kwenye figo. Mwili hupungukiwa kiasi cha maji.* *4. Uchovu, Kupungukiwa nguvu ya Kufanya tendo la Ndoa, Nishati inakuwa haitoshi.* *5. Maluweluwe, Kushindwa Kuona Vizuri, Ubongo unakosa nishati.* *6. Kichwa kuuma, taarifa kwako kwamba mwili hauko sawa.* *Na dalili nyingine nyingi.* Wengi wamepona na Kumshukuru M

UTASHINDAJE?

Image
NGUVU YA MAFANIKIO YAKO, IMEJIFICHA KWENYE UOGA WAKO, UKIFANYIA KAZI VILE UNAVYOVIOGOPA UTAONA JINSI ULIVYOKUWA UNAJICHELEWESHA KUYAFIKIA MAFANIKIO YAKO, UOGA NI UDHAIFU UFANYIE KAZI, UTAONA SIRI YA KUWA JASIRI, @shukrani magoti
Image
VIRUTUBISHO VYA TIBA YA KISUKARI. *•Glugogone;* Kuisaidia Kongosho Kujizalishia Insulini Lenyewe. *Kopo Moja Linaisha Baada ya Siku 10.* Matumizi 2×3 Nusu Saa Kabla ya Chakula. *•GlucoBlocker Tea:* Husaidia Kusafisha Sukari inayoingia Mwilini kupitia Chakula, Huponyesha Beta Cell za kwenye Kongosho, Husaidia uzalishwaji wa Insulini. *Boksi Moja Linaisha Ndani Ya Siku 20.* Matumizi: Loweka Pakiti Moja Kwenye Chupa ya Chai, Yenye Vikombe Vitatu vya Maji Ya Moto, na kunywa Maji yake kila Nusu Saa Baada ya Chakula. 3×3 *•Micro²Cycle:* Kusafisha Mfumo Wa Damu na Kuusaidia Mfumo wote wa Damu kwa Kuondoa Sumu na Moyo, INI Figo kufanya kazi Sawasawa. *Kopo Moja Linaisha ndani ya Siku 11* Matumuzi 3×3 Unamung'unya Bila Maji Wakati wa Chakula. *•Pure And Broken:* Kuisaidia Kinga ya Mwili Kupambana na Magonjwa, Kuupa Mwili Nguvu Na Kuponya Matatizo Sugu, pia Huondoa Sumu Mwilini na Kuponya haraka Vidonda Vinavyosababishwa na Magonjwa Kama KISUKARI Nk. *Kopo

USIRUDI NYUMA

Image
*"Acha kuogopa wala kukatishwa tamaa na kitu chochote katika maisha yako kwa kuhofu kuwa pengine hayo malengo yako hayawezi kutimia. *Kila kitu kinawezekana na hakuna kitu kinachoshindikana kwako hata kidogo. Anza kutekeleza malengo yako kidogo kidogo hata kama ni makubwa vipi, lakini tambua kuwa ni lazima uyafikie" BF SUMA, BETTER LIFE, BETTER FUhTURE. @shukrani magoti

TUMBO KUJAA GESI SIO JAMBO LA KUHANGAIKA UKIWA NA HUDUMA ZA BF SUMA

Image
CHANGAMOTO YA TUMBO KUJAA GESI. Tatizo la kujaa gesi tumboni kwa kitaalamu linaitwa *bloating* . Hutokea pale ambapo hewa au maji hujaa katika mfumo wa chakula na kupelekea tumbo kuhisi kama limebana, kujaa au hisia za kushiba sana. Muda mwingine huambatana na *maumivu makali, kubeua sana (bleaching), kutoa hewa kwa njia ya haja kubwa na tumbo kuunguruma.* *Visababishi* 1. Hewa •hiki ni kisababishi kikuu hasa baada ya kula. •Gesi hujaa tumboni pale ambapo chakula kisichomengenywa kuvunjwa kwa lazima, au kumeza hewa nyingi kipindi unakula au kunywa. •Kumeza hewa nyingi huletwa na : *mtu kula harakaharaka, uvutaji wa sigara na utafunaji wa bigiji*. •Mara nyingi hewa hii hutoka kwa njia ya hewa *(kubeua)* au kwa njia ya haja kubwa. 2. Sababu za kiafya •kuongezeka uzito •kiungulia •Magonjwa kama : Inflammatory bowel disease *yaani kuvimba kwa utumbo au mfumo wa kumengenya chakula*. •Uwingi wa homoni hasa kwa wanawake •Na magonjwa mengine ya ufahamu kama sonona na magonjwa

P.I.D AND FIBROID YANATIBIKA VIZURI NA BF SUMA

Image
MAGONJWA YANAYOSABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA P.I.D(pelvic inflammatory disease) na FIBROIDS inavyotesa wanawake na kuwasababishia ugumba. P.I.D NI NINI?? P.I.D ni maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Ugonjwa huu unaweza kupelekea uharibifu mkubwa kwenye mayai,mfuko wa uzazi,mirija ya uzazi nk  . Pia ugonjwa huu ni moja ya UGUMBA kwa mwanamke.Huu ni ugonjwa unaosababishwa na kutotibu magonjwa ya zinaa kwa ufasaha na kuacha wale bakteria kuendelea kusambaa kwenye via vya uzazi wa mwanamke. Je utajuaje kwamba huenda umeathirika na ugonjwa huu wa P.I.D ???? DALILI ZA P.I.D 👉Maumivu ya tumbo sehemu ya chini au ya juu upande wa kulia 👉Kutokwa kwa uchafu ukeni usio wa kawaida na harufu mbaya(wengi hudhani ni fangas kumbe sio) 👉Maumivu makali na kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa 👉Maumivu wakati wa kukojoa 👉Kutapika na homa 👉Uchovu 👉Kutokwa kwa damu nyingi isiyokuwa na mpangilio wakati wa hedhi au wakati sio wa hedhi( hii dalili kubwa na huwa inafanana sa

BEING YOUR OWN BOSS IS A SELF DECISION

Image
This is a dedication to all those who think they want to be somewhere in their future life So many people wish to do something great for their future life But the obstacle rise when they think like they are not worth to do it I advice you to do any thing that you think it will lead you to your dream Stop discussing with yourself about your status,it being higher or lower Do what brings you profit BELIEVE THAT YOU ARE WORTH THEN SOON YOU WILL WIN say "why not me" Say "why him/her" THEN WORK HARD Join our success team Let us work together +255621493637 An eagle

BF SUMA

Image
After having read my previous posts you will obvious be able to differenciate these types of network marketing Let us discuss here down about BF SUMA can you say some thing about it? Is it MLM OR PYRAMID SCHEME WHY? the comments can be benneficial to people who don't understand about it What do you understand about it

DIFFERENCE BETWEEN MLM VS PYRAMID SCHEME

Image
THE DIFFERENCE BETWEEN MLM VS PYRAMID SCHEME Multilevel Marketing (MLM) and Pyramid Schemes Can Be Very Similar Considering a multilevel marketing opportunity (MLM)? Be careful. It may well be a legitimate multilevel marketing business. Or it may be a pyramid scheme - an illegal scam designed to steal your money. This article explains the difference between MLM and pyramid schemes so you can distinguish between them. Multilevel Marketing Can Be a Good Thing Multilevel marketing (MLM) is an attractive business proposition to many people. It offers the opportunity to become involved in a system for distributing products to consumers. Unlike the person starting a business from scratch, the MLM participant has the support of a direct selling company that supplies the products and sometimes offers training as well. How MLM Works As a MLM consultant or contractor or distributor (different companies call them different things) you make your money by selling the products

HOW NETWORK MARKETING WORKS

Image
How Network Marketing Works Network marketing is known by a variety of names, including multilevel marketing, cellular marketing, affiliate marketing, consumer-direct marketing, referral marketing, or home-based business franchising. Companies that follow the network marketing model often create tiers of salespeople—that is, salespeople are encouraged to recruit their own networks of salespeople. The creators of a new tier (or "upline") earncommission on their own sales and on sales made by the people in the tier they created (the "downline"). In time, a new tier can sprout yet another tier, which contributes more commission to the person in the top tier as well as the middle tier. Thus, the earnings of salespeople depend on recruitment as well as product sales. Those who got in early and are in a top tier make the most.

CAUTION ABOUT NETWORK MARKETING

KEY TAKEAWAYS Multilevel marketing (MLM) is a strategy that some direct sales companies use to encourage existing distributors to recruit new distributors. In MLM schemes, there can be hundreds or thousands of members worldwide, but relatively few earn meaningful incomes from their efforts, indicating a possible pyramid scheme. While many MLM practices are legal, the FTC has been investigating multi-level marketing companies for decades and has found many with questionable legitimate practices such as running pyramid scheme It is adviced you should do your research before you join any network marketsng for your own satisfications

MULTILEVEL MARKETING

BUSINESS  MARKETING ESSENTIALS Multilevel Marketing BY SANDRA LIM  Updated May 1, 2019 What Is Multilevel Marketing? Multilevel marketing is a strategy some direct sales companies use to encourage existing distributors to recruit new distributors who are paid a percentage of their recruits' sales. The recruits are the distributor's "downline." Distributors also make money through direct sales of products to customers. Amway, which sells health, beauty, and home care products, is an example of a well-known direct sales company that uses multilevel marketing. 1:58 Multi-Level Marketing Understanding Multilevel Marketing Multilevel marketing is a legitimate business strategy, though it is controversial. One problem is pyramid schemes that use money from new recruits to pay people at the top rather than those who perform the work. These schemes involve taking advantage of people by pretending to be engaged in legitimate multilevel ornetwork marketing

WHAT IS NETWORK MARKETING

 Network marketing Definition: A business model in which a distributor network is needed to build the business. Usually such businesses are also multilevel marketing in nature in that payouts occur at more than one level. Network marketing is a type of business opportunity that is very popular with people looking for part-time, flexible businesses. Some of the best-known companies in America, including Avon, Mary Kay Cosmetics and Tupperware, fall under the network marketing umbrella. Network marketing programs feature a low upfront investment--usually only a few hundred dollars for the purchase of a product sample kit--and the opportunity to sell a product line directly to friend, family and other personal contacts. Most network marketing programs also ask participants to recruit other sales representatives. The recruits constitute a rep's "downline," and their sales generate income for those above them in the program. Things can get sticky when a network market

BE AN EAGLE

Image
Be an Eagle Welcome to the site where you will learn how to rise yourself from dust to the higher seats In here we will explain more about how people become succwssful in network marketing than in other business How netwok marketing works and what should one do to make her or his dreams come true Shortly every one should tjink of being like AN EAGLE Think of being high Think of getting success